Skip to main content

PICHA 11: Uhusiano wa Wiz Khalifa na Amber Rose umerudi upya?...............//

Inafahamika ndoa yao ilivunjika ni zaidi ya miaka miwili sasa, lakini bado mastaa Wiz Khalifa na Amber Rose hawajasahau kwamba wao ni wazazi na wana mtoto wa kiume.

 Jumatano ya wiki hii mastaa hawa walikutana kanisani huko California wakati wa maadhimisho ya siku ya Shukrani wakiwa na mtoto wao Sebastian mwenye miaka mitatu.

Mrembo model Amber Rose mwenye miaka 33, alionekana mwenye furaha kukutana na baba wa mwanae, Hip Hop star Wiz Khalifa ambaye alikuwa amembeba Sebastian. Wawili hawa walianza kudate 2011, wakachumbiana mwaka 2012 na kufunga ndoa July 8, 2013. 

September 2014 Amber alifungua kesi mahakamani kudai talaka baada ya taarifa zake kwamba amegundua Wiz Khalifa anadate na mfanyakazi wake. Amber Rose aliwahi kuwa mpenzi wa Kanye West miaka ya nyuma kabla ya kukutana na Wiz Khalifa.3a92493200000578-3965900-having_fun_amber_shares_sebastian_with_wiz_khalifa_pictured_earl-a-74_1479937971909 3ab28a5200000578-3965900-image-a-5_1479934787293 3ab28a8200000578-3965900-image-a-2_1479934483697 3ab28b4b00000578-3965900-image-a-4_1479934782504 3ab28c4f00000578-3965900-image-a-3_1479934587558 3ab34a4200000578-3965900-image-a-29_1479943213337 3ab34ae600000578-3965900-image-a-31_1479943217929 3ab28a5200000578-3965900-image-a-5_1479934787293 3ab28a8200000578-3965900-image-a-2_1479934483697 3ab28c4f00000578-3965900-image-a-3_1479934587558 3ab34ae600000578-3965900-image-a-31_1479943217929 3ab289db00000578-3965900-image-a-1_1479934152153 3ab354af00000578-3965900-image-a-30_1479943215196 3ab354d600000578-3965900-image-a-32_1479943221648

Comments

Popular posts from this blog

Fedha za nchi 7 kutoka Afrika ambazo zina thamani zaidi.!

Kuna baadhi ya nchi nyingi barani Afrika ambazo fedha zake zimekuwa maarufu kutokana na uchumi wake kuwa mkubwa na zipo nchi nyingine ambazo pamoja na kuwa na watu wengi kwenye miji yao lakini bado fedha inakosa thamani. Nguvu au thamani ya fedha inaweza kupimwa kwa uwezo wa kununua, kuonyesha jinsi uchumi wa nchi husika unavyokuwa kwa kulinganisha na nchi nyingine duniani.  Leo April 1 2017 nakuletea list ya nchi saba kutoka Afrika ambazo fedha zake zina nguvu na thamani kubwa kuliko nchi nyingine. 7: Rand – Afrika Kusini (1$=14) Ukiiweka kando Nigeria nchi nyingine ambayo uchumi wake una nguvu ni Afrika Kusini ambapo hata hivyo kutokana na mgogoro wa kiuchumi kimataifa, thamani ya Rand imekuwa ikiporomoka thamani yake kutokana na kupanda kwa Dolla ambapo sasa unaweza ukabadilisha Dola moja kwa Rand 14. 6: Pula – Botswana (1$ = 10.8) Pula ndiyo fedha ambayo inatumika katika nchi ya Botswana ambayo uchumi wake mkubwa unatokana na mapato yatokana...

TETESI ZA SOKA MAJUU LEO JUMA PILI JULAI 16 2017.!Bofya picha hii kutazama tetesi zote.

Real Madrid wanafikiria kumuuza mshambuliaji Gareth Bale, 27, ili kupata fedha za kumnunua Kylian Mbappe, 18, kutoka Monaco. (Sunday Express) Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anaamini Kylian Mbappe atabakia Monaco kwa msimu mmoja zaidi. (Sun on Sunday) Dau la Chelsea la pauni milioni 88 la kumtaka mshambuliaji wa Juventus Gonzalo Higuain, 29, limekataliwa. (Tuttosport) Kuna wasiwasi kuhusu hatma ya meneja wa Chelsea Antonio Conte, 47, baada ya mazungumzo ya mkataba mpya kusuasua. (Sun on Sunday) Liverpool wanatarajiwa kupanda dau jipya kutaka kumsajili kiungo wa RB Leipzig, Naby Keita, 22 wiki ijayo, baada ya dau la pauni milioni 57 kukataliwa. (Sunday Mirror) Kumekuwa na wasiwasi zaidi kuhusiana na mustakbali wa Alexis Sanchez, 28, baada ya kusema anataka kucheza Klabu Bingwa Ulaya. (ESPN Manchester City wanaongeza juhudi zao za kutaka kumsajili beki wa kushoto wa Monaco, Benjamin Mendy, 22, kwa pauni milioni 50 hii ni baada ya Tottenham kukataa kuwauzia Da...

Matumizi ya silaha za sumu Syria kuchunguzwa.! Bofya picha hii kupata story nzima.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mashambulizi yanayotuhumiwa kuwa ya silaha za sumu yaliofanyika nchini Syria hapo Jumanne yanapaswa kuchunguzwa. Kauli ya Guterres inakuja wakati kundi linalofuatilia hali ya Syria likisema idadi ya vifo kutokana na mashambulio hayo ya Jumanne katika mji wa kaskazini imeongezeka na kufikia 72, na wanaharakati pia wameripoti kurudiwa kwa mashambulizi ya anga katika mji huo. Guteress amewaambia waandishi wa habari leo hii katika mkutano wa wafadhili wa Syria unaofanyika Brusels kwamba anataraji wakati huu utaweza kuimarisha uwezo wa wale ambao wana wajibu katika hali hiyo. Amesema matukio hayo ya kutisha yanaonyesha uhalifu wa kivita ukiendelea kutendeka nchini Syria na kwamba sheria ya kimataifa inaendelea kukiukwa mara kwa mara.Ameongeza kusema ana imani kwamba Baraza la Usalama litatimiza wajibu wake wakati litakapokutana baadae leo hii. Baraza la Usalama kujadili mashambulizi hayo Marekani, Ufarans...