Skip to main content

KUMBE MAPENZI NI TIBA!! TAFITI ZINAONESHA ;KUFANYA MAPENZI KUNAONGEZA SIKU ZA KUISHI.! Bofya picha hii kujua zaidi.

Amini usiamini Kama wewe ni moja ya watu ambao hufanya mapenzi kwa msimu basi utakuwa upo kwenye hatari ya kupunguza umri wa kuishi duniani, hii ni kwa mujibu wa tafiti.

Watafiti kutoka chuo cha Coventry University cha nchini Uingereza wamebaini kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara kwa watu wenye umri kuanzia miaka 28 kwenda juu huimarisha afya zao na kuongeza nguvu ya ubongo kufanya kazi kikamilifu kuliko wale ambao wanafanya kwa msimu.
Watafiti hao walibaini kuwa watu ambao wanafanya mapenzi mara kwa mara hupunguza msongo wa mawazo hivyo huimarisha afya ya moyo na kupunguza uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo kama Shinikizo la damu (High Blood Pressure), Koronari za moyo (Coronary Heart Diseases), Mshituko wa moyo (Heart Attack), Peripheral Vascular Disease magonjwa ambayo huwakumba watu wenye umri mkubwa.
Watafiti hao mbali ya kuorodhesha magonjwa ambayo utayaepuka kutokana endambo utafanya mapenzi mara kwa mara wamesema walichukua idadi ya watu 5000 kutoka nchi 10 tofauti tofauti wenye umri kuanzia miaka 50 hadi 80,
 ambapo asilimia 78% kati yao walikiri kuwa hufanya mapenzi kwa wiki mara 5 hadi 6 licha ya kuwa na umri mkubwa.
Asilimia 10% walisema kipindi wakiwa vijana walikuwa wanafanya mapenzi mara 2 kwa siku kabla ya kufikia umri wa miaka 40.
Asilimia 12% walisema hao hufanya mapenzi kawaida kwa wiki mara 1 ingawaje walisema kipindi walivyokuwa vijana walikuwa wanafanya mapenzi mpaka siku mbili tu kwa wiki.
Hata hivyo watafiti hao wamesema asilimia kubwa ya watu ambao hawafanyi mapenzi mara kwa mara wana asilimia kubwa kupata ugonjwa wa Kansa ya tezi dume (Prostate Cancer) wakieleza kuwa Tezi dume huwa zinakua kadri ya umri unavyozidi kuongezeka na huanzia miaka 25,
 kwahiyo kama mwanaume hatajihusisha sana na mapenzi tezi dume zitazalisha wingi wa mbegu na baadae kujaa na kupelekea kuzuia mkojo kutoka vizuri na dalili za ugonjwa huanza kujionesha hata kabla ya kufikisha miaka 50.
Watafiti hao wamesema mapenzi hayo ni lazima yawe salama kwani kuna uwezekano wa kupata magonjwa mengine makubwa endapo wahusika hawatazingatia afya ya miili yao kabla ya kukutana kimwili. 
                  Chanzo: Coventry University

Comments

Popular posts from this blog

Fedha za nchi 7 kutoka Afrika ambazo zina thamani zaidi.!

Kuna baadhi ya nchi nyingi barani Afrika ambazo fedha zake zimekuwa maarufu kutokana na uchumi wake kuwa mkubwa na zipo nchi nyingine ambazo pamoja na kuwa na watu wengi kwenye miji yao lakini bado fedha inakosa thamani. Nguvu au thamani ya fedha inaweza kupimwa kwa uwezo wa kununua, kuonyesha jinsi uchumi wa nchi husika unavyokuwa kwa kulinganisha na nchi nyingine duniani.  Leo April 1 2017 nakuletea list ya nchi saba kutoka Afrika ambazo fedha zake zina nguvu na thamani kubwa kuliko nchi nyingine. 7: Rand – Afrika Kusini (1$=14) Ukiiweka kando Nigeria nchi nyingine ambayo uchumi wake una nguvu ni Afrika Kusini ambapo hata hivyo kutokana na mgogoro wa kiuchumi kimataifa, thamani ya Rand imekuwa ikiporomoka thamani yake kutokana na kupanda kwa Dolla ambapo sasa unaweza ukabadilisha Dola moja kwa Rand 14. 6: Pula – Botswana (1$ = 10.8) Pula ndiyo fedha ambayo inatumika katika nchi ya Botswana ambayo uchumi wake mkubwa unatokana na mapato yatokana...

TETESI ZA SOKA MAJUU LEO JUMA PILI JULAI 16 2017.!Bofya picha hii kutazama tetesi zote.

Real Madrid wanafikiria kumuuza mshambuliaji Gareth Bale, 27, ili kupata fedha za kumnunua Kylian Mbappe, 18, kutoka Monaco. (Sunday Express) Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anaamini Kylian Mbappe atabakia Monaco kwa msimu mmoja zaidi. (Sun on Sunday) Dau la Chelsea la pauni milioni 88 la kumtaka mshambuliaji wa Juventus Gonzalo Higuain, 29, limekataliwa. (Tuttosport) Kuna wasiwasi kuhusu hatma ya meneja wa Chelsea Antonio Conte, 47, baada ya mazungumzo ya mkataba mpya kusuasua. (Sun on Sunday) Liverpool wanatarajiwa kupanda dau jipya kutaka kumsajili kiungo wa RB Leipzig, Naby Keita, 22 wiki ijayo, baada ya dau la pauni milioni 57 kukataliwa. (Sunday Mirror) Kumekuwa na wasiwasi zaidi kuhusiana na mustakbali wa Alexis Sanchez, 28, baada ya kusema anataka kucheza Klabu Bingwa Ulaya. (ESPN Manchester City wanaongeza juhudi zao za kutaka kumsajili beki wa kushoto wa Monaco, Benjamin Mendy, 22, kwa pauni milioni 50 hii ni baada ya Tottenham kukataa kuwauzia Da...

Matumizi ya silaha za sumu Syria kuchunguzwa.! Bofya picha hii kupata story nzima.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mashambulizi yanayotuhumiwa kuwa ya silaha za sumu yaliofanyika nchini Syria hapo Jumanne yanapaswa kuchunguzwa. Kauli ya Guterres inakuja wakati kundi linalofuatilia hali ya Syria likisema idadi ya vifo kutokana na mashambulio hayo ya Jumanne katika mji wa kaskazini imeongezeka na kufikia 72, na wanaharakati pia wameripoti kurudiwa kwa mashambulizi ya anga katika mji huo. Guteress amewaambia waandishi wa habari leo hii katika mkutano wa wafadhili wa Syria unaofanyika Brusels kwamba anataraji wakati huu utaweza kuimarisha uwezo wa wale ambao wana wajibu katika hali hiyo. Amesema matukio hayo ya kutisha yanaonyesha uhalifu wa kivita ukiendelea kutendeka nchini Syria na kwamba sheria ya kimataifa inaendelea kukiukwa mara kwa mara.Ameongeza kusema ana imani kwamba Baraza la Usalama litatimiza wajibu wake wakati litakapokutana baadae leo hii. Baraza la Usalama kujadili mashambulizi hayo Marekani, Ufarans...